Habari
-
Bashungwa: Wakandarasi Wazawa Washirikishwe Fursa za Kiuchumi
Serikali imezitaka taasisi chini ya Wizara ya Ujenzi kuhakikisha Wakandarasi Wazawa wanapewa kipaumbele katika kushiriki kwenye fursa za kiuchumi.
Oct 02, 2023 Soma zaidi -
‘Rasimu ya mapendekezo gharama za ujenzi wa barabara tayari’
WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Mh. Prof Makame Mbarawa ameliambia Bunge kuhusu kazi zinazofanywa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), ikiwa ni pamoja na kufanikiwa kwa Baraza hilo kukamilisha rasimu ya mapendekezo ya gharama za msingi za ujenzi wa barabara, kwa kila mkoa nchini.
May 23, 2023 Soma zaidi -
Serikali Kuweka Miongozo ya Ujenzi Majengo Nchini
Serikali inaandaa miongozo itakayotumika katika ujenzi wa majengo nchini ili kuhakikisha usalama, afya na ustawi kwa wanaotumia majengo hayo na jamii kwa ujumla.
May 08, 2023 Soma zaidi -
Mei Mosi Dodoma yafana, Mtendaji Mkuu NCC ashiriki
MTENDAJI Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dk Matiko Mturi, ameungana na watumishi wa Baraza hilo, pamoja na wafanyakazi wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
May 04, 2023 Soma zaidi -
‘Usuluhishi nje ya Mahakama tiba ya mrundikano wa kesi’
KWA kipindi kirefu mahakama nchini zimekuwa na changamoto ya mrundikano wa kesi mbalimbali, ambazo kwa namna moja au nyingine zingeweza kutafutiwa ufumbuzi nje ya mahakama, hivyo kuupunguzia mhimili huo mzigo usio wa lazima, pamoja na kusababisha upatikanaji wa haki kwa haraka.
Apr 27, 2023 Soma zaidi -
‘Ruhusuni majadiliano katika hali zote’
MWAKILISHI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Subisi Mwasandenge, ametoa wito kwa viongozi wa chama hicho katika Tawi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kuruhusu majadiliano wakati wote wanapokuwa katika hali zote, zikiwemo zisizovumilika.
Mar 16, 2023 Soma zaidi