Habari

  • news image

    Serikali ya Dk Samia kuendelea kuinua Wanawake-Waziri Mkuu

    WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuinua wanawake nchini, katika nyanja zote.

    Mar 11, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ​Majengo ya Serikali Kuwekewa Viwango Maalum

    Kwa muda mrefu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikijengamajengo yake kwa kutumia wataalam mbalimbali kutoka katika sekta ya ujenzi nchini.

    Feb 14, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ​KAMATI UWEZESHAJI WA WAZAWA SEKTA YA UJENZI YAPEWA MWEZI MMOJA

    Waziri wa Ujenzi, Mhe.Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Kamati inayoandaa Mkakati wa Kuongeza Ushiriki wa Wazawa katika Miradi ya Ujenzi

    Feb 14, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ‘Hatua ya awali ya uandaaji Sheria ya Majengo yakamilika’

    BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) linaloratibu mchakato wa maandalizi ya Sheria ya Majengo nchini, limekamilisha hatua ya awali ya maandalizi ya sheria hiyo kwa kuandaa andiko dhana na kulikabidhi Wizara ya Ujenzi kwa hatua zaidi.

    Dec 21, 2023 Soma zaidi
  • news image

    Bashungwa: Wakandarasi Wazawa Washirikishwe Fursa za Kiuchumi

    Serikali imezitaka taasisi chini ya Wizara ya Ujenzi kuhakikisha Wakandarasi Wazawa wanapewa kipaumbele katika kushiriki kwenye fursa za kiuchumi.

    Oct 02, 2023 Soma zaidi
  • news image

    Serikali Kuweka Miongozo ya Ujenzi Majengo Nchini

    Serikali inaandaa miongozo itakayotumika katika ujenzi wa majengo nchini ili kuhakikisha usalama, afya na ustawi kwa wanaotumia majengo hayo na jamii kwa ujumla.

    May 08, 2023 Soma zaidi