Habari
-
Naibu Waziri UTUMISHI atembelea banda la NCC
Apongeza mchango wa NCC katika kukuza sekta ya ujenzi
Jun 20, 2025 Soma zaidi -
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA-DODOMA Katibu Mkuu Utumishi apongeza maandalizi ya banda la NCC
Aelezwa kuhusu majukumu yanayotekelezwa na kupongeza
Jun 18, 2025 Soma zaidi -
Waziri Simbachawene azindua Wiki ya Utumishi wa Umma
• Asisitiza matumizi ya TEHAMA kuimarisha uwazi na uwajibikaji
Jun 18, 2025 Soma zaidi -
Muongozo bora kusimamia mikataba ya ujenzi wa barabara waandaliwa
• NCC, TANROADS zalenga tija, ufanisi na thamani halisi ya miradi
Apr 02, 2025 Soma zaidi -
NCC yashiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
WATUMISHI wanawake wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), wameungana na wanawake wenzao duniani kusherehekea siku yao, iliyolenga kusisitiza haki, usawa na uwezeshaji kwa wasichana na wanawake.
Mar 10, 2025 Soma zaidi -
Naibu Waziri Ujenzi azindua Baraza la Wafanyakazi la NCC
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Godfrey Msongwe Kasekenya (Mb.), amezindua Baraza la Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mabeyo, jijini Dodoma.
Oct 24, 2024 Soma zaidi