Habari

  • news image

    NAIBU WAZIRI UJENZI AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI (NCC)

    Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Godfrey Msongwe Kasekenya (Mb.), amezindua Baraza la Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mabeyo, jijini Dodoma.

    Oct 24, 2024 Soma zaidi
  • news image

    Dk Msonde atembelea NCC

    Naibu Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde ametembelea Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kujifunza mambo mbalimbali kuhusu baraza hilo na kufahamiana na watumishi ikiwemo menejimenti, kwa ajili ya ushirikiano na uongozi bora.

    Sep 30, 2024 Soma zaidi
  • news image

    Serikali ya Dk Samia kuendelea kuinua Wanawake-Waziri Mkuu

    WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuinua wanawake nchini, katika nyanja zote.

    Mar 11, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ​Majengo ya Serikali Kuwekewa Viwango Maalum

    Kwa muda mrefu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikijengamajengo yake kwa kutumia wataalam mbalimbali kutoka katika sekta ya ujenzi nchini.

    Feb 14, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ​KAMATI UWEZESHAJI WA WAZAWA SEKTA YA UJENZI YAPEWA MWEZI MMOJA

    Waziri wa Ujenzi, Mhe.Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Kamati inayoandaa Mkakati wa Kuongeza Ushiriki wa Wazawa katika Miradi ya Ujenzi

    Feb 14, 2024 Soma zaidi
  • news image

    ‘Hatua ya awali ya uandaaji Sheria ya Majengo yakamilika’

    BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) linaloratibu mchakato wa maandalizi ya Sheria ya Majengo nchini, limekamilisha hatua ya awali ya maandalizi ya sheria hiyo kwa kuandaa andiko dhana na kulikabidhi Wizara ya Ujenzi kwa hatua zaidi.

    Dec 21, 2023 Soma zaidi