Habari
-
Muongozo bora kusimamia mikataba ya ujenzi wa barabara waandaliwa
• NCC, TANROADS zalenga tija, ufanisi na thamani halisi ya miradi
Apr 02, 2025 Soma zaidi -
NCC yashiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
WATUMISHI wanawake wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), wameungana na wanawake wenzao duniani kusherehekea siku yao, iliyolenga kusisitiza haki, usawa na uwezeshaji kwa wasichana na wanawake.
Mar 10, 2025 Soma zaidi -
NAIBU WAZIRI UJENZI AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI (NCC)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Godfrey Msongwe Kasekenya (Mb.), amezindua Baraza la Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mabeyo, jijini Dodoma.
Oct 24, 2024 Soma zaidi -
Dk Msonde atembelea NCC
Naibu Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde ametembelea Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kujifunza mambo mbalimbali kuhusu baraza hilo na kufahamiana na watumishi ikiwemo menejimenti, kwa ajili ya ushirikiano na uongozi bora.
Sep 30, 2024 Soma zaidi -
Serikali ya Dk Samia kuendelea kuinua Wanawake-Waziri Mkuu
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuinua wanawake nchini, katika nyanja zote.
Mar 11, 2024 Soma zaidi -
Majengo ya Serikali Kuwekewa Viwango Maalum
Kwa muda mrefu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ikijengamajengo yake kwa kutumia wataalam mbalimbali kutoka katika sekta ya ujenzi nchini.
Feb 14, 2024 Soma zaidi