Habari
-
Katibu Mkuu TAMISEMI akumbusha wakandarasi wa barabara jambo jema
KATIBU Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Prof Riziki Shemdoe ametoa wito kwa wahusika wa utengenezaji barabara nchini hasa za kwenye mitaa, wakiwemo wasimamizi na wakandarasi wanaohusika kutengeneza barabara hizo kutosubiri kuona dalili za mvua ndipo waanze kutengeneza barabara.
Dec 16, 2021 Soma zaidi -
NCC yakutanisha wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini kusikia maoni yao
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) limefanikiwa kuwakutanisha wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini kwa lengo la kupata maoni yao kuhusu maendeleo ya sekta ya ujenzi Tanzania, pamoja na kusikia maoni na mapendekezo yao kuhusu masuala mbalimbali ya sekta hiyo yanayopaswa kufanyiwa kazi ili kuikuza zaidi kwa maendeleo ya taifa.
Dec 16, 2021 Soma zaidi -
NCC yamtakia Njaila mafanikio mema baada ya kustaafu
BODI ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) inamtakia mfanyakazi aliyestaafu Utumishi wa Umma hivi karibuni, Eliud Njaila mafanikio na maisha mema popote atakapokuwa baada ya utumishi wake serikalini.
Jul 01, 2021 Soma zaidi -
Wafanyakazi NCC waungana na wengine kusherehekea Mei Mosi
KATIKA kutambua umuhimu wa Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wameshiriki maandamano ya kumbukumbu ya siku hii pamoja na wafanyakazi wa mashirika, taasisi za Serikali, za binafsi na asasi za kiraia.
May 03, 2021 Soma zaidi -
Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake NCC wasapoti maneno ya Samia
WAKATI Dunia ikisherehekea Siku ya Wanawake, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amewataka waajiri wote nchini kutambua heshima ya mwanamke katika sehemu za kazi pamoja na kuwajali.
Mar 12, 2021 Soma zaidi -
Wajumbe wa Bodi NCC, Menejimenti watembelea mradi mkubwa wa umeme Rufiji
WAJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) pamoja na menejimenti ya baraza hilo wametembelea mradi mkubwa wa kuzalisha umeme uliopo Rufiji mkoani Pwani na kujionea au kujifunza mambo mengi yaliyowathibitishia kuwa utakamilika kama ilivyopangwa katikati ya mwaka ujao.
Feb 02, 2021 Soma zaidi