Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Bei ya Price Indices ni Tsh. 500,000.00
Baraza la Taifa la Ujenzi ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge namba 20 ya mwaka 1979 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2008. (“National Construction Council Act, CAP 162, R.E. 2008”). Baraza lilianzishwa kwa lengo la kusimamia maendeleo ya sekta ya ujenzi nchini.
NCC wanatoa huduma mbalilmbali pamoja na Usuluhishi wa Migogoro,kutoa ushauri wa kiufundi,kufanya tafiti za miradi mbalimbali,ukaguzi wa kiufundi ,makadirio ya gharama,farihisi za bei pamoja na usuluhishi wa migogoro katika sekta ya ujenzi .
Jendengwa Jengo la Mfuko wa Barabara (Roads Fund Board Building)