Habari
-
Serikali Kuweka Miongozo ya Ujenzi Majengo Nchini
Serikali inaandaa miongozo itakayotumika katika ujenzi wa majengo nchini ili kuhakikisha usalama, afya na ustawi kwa wanaotumia majengo hayo na jamii kwa ujumla.
May 08, 2023 Soma zaidi -
‘Usuluhishi nje ya Mahakama tiba ya mrundikano wa kesi’
KWA kipindi kirefu mahakama nchini zimekuwa na changamoto ya mrundikano wa kesi mbalimbali, ambazo kwa namna moja au nyingine zingeweza kutafutiwa ufumbuzi nje ya mahakama, hivyo kuupunguzia mhimili huo mzigo usio wa lazima, pamoja na kusababisha upatikanaji wa haki kwa haraka.
Apr 27, 2023 Soma zaidi -
NCC na Vyombo vya Habari, Dodoma
NCC na Vyombo vya Habari Maelezo, Dodoma
Feb 13, 2023 Soma zaidi -
‘Mafunzo yanayoendeshwa na NCC yanatujenga’
WADAU wa Sekta ya Ujenzi wanaoshiriki mafunzo mbalimbali yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), wamesema mafunzo hayo yana faida kubwa kwa wengi, kwa sababu yanawajenga kwa kuongeza uelewa wao, hivyo kuchochea weledi wao kazini.
Feb 10, 2023 Soma zaidi -
Wafanyakazi NCC waungana na wengine kusherehekea Mei Mosi
KATIKA kutambua umuhimu wa Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wameshiriki maandamano ya kumbukumbu ya siku hii pamoja na wafanyakazi wa mashirika, taasisi za Serikali, za binafsi na asasi za kiraia.
May 03, 2021 Soma zaidi -
Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake NCC wasapoti maneno ya Samia
WAKATI Dunia ikisherehekea Siku ya Wanawake, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amewataka waajiri wote nchini kutambua heshima ya mwanamke katika sehemu za kazi pamoja na kuwajali.
Mar 12, 2021 Soma zaidi