Habari
-
“Wanawake tumieni fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali”
WANAWAKE wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wameungana na wanawake wengine ulimwenguni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Machi 08, kila mwaka ni siku ya Wanawake Duniani.
Mar 09, 2023 Soma zaidi -
NCC na Vyombo vya Habari, Dodoma
NCC na Vyombo vya Habari Maelezo, Dodoma
Feb 13, 2023 Soma zaidi -
‘Mafunzo yanayoendeshwa na NCC yanatujenga’
WADAU wa Sekta ya Ujenzi wanaoshiriki mafunzo mbalimbali yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), wamesema mafunzo hayo yana faida kubwa kwa wengi, kwa sababu yanawajenga kwa kuongeza uelewa wao, hivyo kuchochea weledi wao kazini.
Feb 10, 2023 Soma zaidi -
Mwakibete aiambia Bodi ya NCC: Mkiwa na shida semeni
NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Atupele Mwakibete amewataka wajumbe wa Bodi ya NCC aliyoizindua kutojiona yatima wakati wa kufanya kazi zao pindi wanapokumbana na changamoto zinazohitaji msaada kutoka wizarani.
Oct 21, 2022 Soma zaidi -
Bodi mpya ya NCC yazinduliwa
BODI mpya ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) imezinduliwa na tayari wajumbe wake wamekabidhiwa vitendea kazi, ili kuendelea kutekeleza majukumu waliyokwisha yaanza Julai Mosi, mwaka huu walipoteuliwa.
Oct 21, 2022 Soma zaidi -
NCC kutoa mafunzo ya usimamizi wa mikataba ya ujenzi
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) limeandaa mafunzo ya siku tano ya usimamizi bora wa mikataba ya ujenzi kwa ajili ya watu wa fani mbalimbali nchini, watakaopenda kupanua uelewa wao juu ya mikataba ya ujenzi kwa manufaa yao, taasisi zao na hata taifa.
Sep 27, 2022 Soma zaidi