
Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC (walio kaa kushoto)) wakizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kutoka Vikosi vya Ujenzi, vinavyotekeleza ujenzi huo katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Mazungumzo hayo yamefanyika wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wataalamu wa NCC wameongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kiufundi, Injinia Moses Lawrence ( wa kwanza kutoka meza kuu-kushoto). Meneja mradi kutoka Vikosi vya Ujenzi ni Mhandisi Bi. Ensi Japhet ( wa pili kutoka meza kuu-kulia).

Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakimsikiliza mwakilishi wa TAMISEMI, Mhandisi Jonas Masina (wa kwanza kulia) anayeiwakilisha taasisi hiyo katika ujenzi wa jengo la ofisi za TAMISEMI, unaotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi kwenye mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. NCC imetembelea mradi huo na kutoa ushauri wa kiufundi, ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wa kwanza kushoto ni Afisa Usalama Kazini, Thomas Kinyau kutoka Vikosi vya Ujenzi.

Mkurugenzi wa Huduma za Kiufundi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Mhandisi Moses Lawrence ( Kulia) na Meneja mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi,linaloendelea kujengwa na Vikosi vya Ujenzi katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Mhandisi Ally Lusesa, wakioneshana kitu katika eneo la juu inapojengwa ghorofa ya tatu ya ofisi hizo. Wataalamu kutoka NCC wametembelea miradi mitatu ya ujenzi inayotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi, ili kutoa ushauri wa kiufundi katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.

Msanifu majengo (Arch) Andzimye Matovelo wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) (Aliyevaa T-Shirt), akitoa ushauri kupitia mchoro kwa Meneja wa mradi wa ujenzi wa jengo la ghorofa sita la Ofisi za Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi unaoendelea katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Mhandisi Ally Lusesa na Mhandisi wa mradi huo, Stanslaus (aliyeshika kiuno) kutoka Vikosi vya Ujenzi kuhusu namna bora ya kuweka vizuia moto kwenye jengo hilo. Hatua hii ni katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.

Course on Construction Contracts Administration held at VETA Hotel from 4th - 8th April 2022 - Arusha
.jpg)

Participants of the Tailor Made Course for RUWASA staff on Microsoft Project conducted from 6th to 10th December, 2021 in Kigoma.
.jpg)
Participants in a group photo on the Course on Conduct and Practice of Arbitration conducted from 27 - 29 October, 2021 at Protea Hotel - Dar es salaam.
.jpg)
Participants in a group photo on the Course on Conduct and Practice of Arbitration conducted from 27 - 29 October, 2021 at Protea Hotel - Dar es salaam.

Participants in a course on Construction Contract Administration conducted in Mwanza from May 24th to May 28th, 2021


Participants in a group photo of the Course on Conduct and Practice of Arbitration conducted from 24th to 26th February, 2021 at Protea Hotel in Dar es Salaam

Participants in a group photo of the Course on Conduct and Practice of Arbitration conducted from 24th to 26th February, 2021 at Protea Hotel in Dar es Salaam.

Participants of the tailor made course on Construction Contract Administration conducted from 19th October to 23rd October 2020 at RUWASA - Kigoma region are in group photo.



Participants of the Course on Conduct and Practice of Arbitration conducted from 23rd to 25th September 2020 at Holiday Inn Hotel in Dar es Salaam

Participants of the Course on Construction Contract Administration conducted from 10th to 14th August, 2020 at Institute of Accountancy Arusha are in group photo
Habari Mpya
-
NCC yaitumia Wiki ya Utumishi wa Umma kutembelea miradi • Yatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) kwa kutumia wataalamu wake wa masuala ya ujenzi, limetembelea miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi vilivyo chini ya Sekta ya Ujenzi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa watekelezaji wa miradi hiyo.
Jun 23,2022 Soma zaidi -
Katibu Mkuu TAMISEMI akumbusha wakandarasi wa barabara jambo jema
Dec 16,2021 Soma zaidi -
NCC yakutanisha wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini kusikia maoni yao
Dec 16,2021 Soma zaidi
Soma Habari zaidi
Matukio
Matangazo
-
COURSE ON CONDUCT AND PRACTICE OF ARBITRATION
May 26, 2022 Angalia Zaidi -
Course on Construction Contract Administration
Apr 27, 2021 Angalia Zaidi -
Comments for NCC Documents
Aug 15, 2019 Angalia Zaidi -
Kujiunga na Mfumo wa Kielektroniki wa Malipo Serikalini (GePG)
Apr 24, 2019 Angalia Zaidi
Matangazo Zaidi