












..




Naibu Waziri Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mha. Geofrey Mwakasenga kuhusu NCC alipotembelea banda la Baraza wakati maonesho ya taasisi za Wizara ya Ujenzi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Bw. Ludovick J. Nduhiye akisaini kitabu cha wageni wakati wa maonesho ya taasisi za Wizara ya Ujenzi yaliyofanyika katika viunga vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma, alilipongeza Baraza kwa kazi nzuri linazozifanya za kuendeleza sekta ya ujenzi nchini.

Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakishiriki katika Maadhimisho ya Sukukuu ya Wafanyakazi Dunia 'Mei Mosi' katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakishiriki katika Maadhimisho ya Sukukuu ya Wafanyakazi Dunia 'Mei Mosi' katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati inayoratibu Uwezeshaji wa Wakandarasi Wazawa kupewa kipaumbele kushiriki katika miradi ya ujenzi nchini na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi (wa tano kulia) akiendesha mdahalo juu ya maendeleo ya kazi za kamati wakati wa hafla ya kuangazia mafanikio ya miaka mitatu madarakani ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyofanyika katika Ukumbi wa Jen. Venance Mabeyo Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati inayoratibu Uwezeshaji wa Wakandarasi Wazawa kupewa kipaumbele kushiriki katika miradi ya ujenzi nchini na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi akiendesha mdahalo juu ya maendeleo ya kazi za kamati wakati wa hafla ya kuangazia mafanikio ya miaka mitatu madarakani ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyofanyika katika Ukumbi wa Jen. Venance Mabeyo Jijini Dodoma.

NCC inatekeleza kwa vitendo sera ya kupambana na magonjwa yasiyoambukiza(NCD)

Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakifanya mazoezi kwa ajili ya kuimarisha afya zao jana katika viunga vya Bodi ya Mfuko wa Barabara, Njedengwa jijini Dodoma.

Wajumbe wa Baraza la NCC wakishiriki katika Mkutano wa 105 wa Baraza hilo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa NCC mjini Dodoma.
Habari Mpya
-
Waziri Mkuu ahitimisha maadhimisho Wiki ya Utumishi wa Umma
• Atoa hadi Julai 30, taasisi zote ziwe zimejiunga GovESB
Jun 23,2025 Soma zaidi -
Naibu Waziri UTUMISHI atembelea banda la NCC
Jun 20,2025 Soma zaidi -
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA-DODOMA Katibu Mkuu Utumishi apongeza maandalizi ya banda la NCC
Jun 18,2025 Soma zaidi
Soma Habari zaidi