
Washiriki wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi na Washauri Elekezi wa Ndani wakifuatilia kwa makini wasilisho la Mha. Dkt. Matiko Mturi Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) na Mwenyekiti wa Kamati inayoratibu mikakati ya kuongeza ushiriki wa wazawa (makandarasi na washauri elekezi) katika miradi ya ujenzi nchini. Mkutano huo ulifanyika tarehe 21 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akiteta jambo na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) wakati wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi na Washauri Elekezi wa ndani kwa ajili ya kujadili nafasi yao katika utekelezaji wa miradi uliofanyika tarehe 21 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati inayoratibu Uwezeshaji wa Wakandarasi Wazawa kupewa kipaumbele kushiriki katika miradi ya ujenzi nchi na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi akitoa taarifa ya kamati hiyo wakati wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi na Washauri Elekezi wa ndani kwa ajili ya kujadili nafasi yao katika utekelezaji wa miradi uliofanyika 21 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi na Washauri Elekezi Wazawa uliofanyika tarehe 21 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma

"Katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM, tuliahidi kuweka mazingira wezeshi kwa makandarasi wa ndani" Ndugu. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tarehe: 21 Novemba 2023 Ukumbi: Jakaya Kikwete, Dodoma.

"Katika mwaka wa fedha 2023/2024, kazi za ukarabati wa barabara nchini zitafanywa na makandarasi wa ndani kama alivyoelekeza Rais Samia Suluhu Hassan" Mhe. Innocent Bashungwa Waziri wa Ujenzi


Wajumbe wa Kikosi Kazi kinachoandaa mkakati wa kuongeza ushiriki wa Wakandarasi Wazawa katika miradi ya ujenzi wakiwa katika majadiliano kuhusu jambo hilo. Kikosi Kazi kinachowajumuisha wataalamu kutoka Bodi ya Usajili ya Wasanifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Mha. Dkt. Matiko Mturi.

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) akitoa maelekezo baada ya kupokea taarifa ya tathmini na ufuatiliaji wa miradi ya ujenzi wa barabara nchini kutoka kwa kamati maalumu iliyopewa jukumu hilo. Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Bodi ya Mfuko wa Barabara jijini Dodoma, ulihudhuriwa na Menejimenti ya Wizara ya Ujenzi, Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Wakala wa Ujenzi wa Barabara Nchini (TANROADS), Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB)

Wajumbe wa Kikosi Kazi kinachoandaa mkakati wa kuongeza ushiriki wa Wakandarasi Wazawa katika miradi ya ujenzi wakiwa katika majadiliano kuhusu jambo hilo. Kikosi Kazi kinachowajumuisha wataalamu kutoka Bodi ya Usajili ya Wasanifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi kinaongozwa na Afisa mtendaji mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi.

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi akiongoza kikao cha Kikosi Kazi kinachoandaa mkakati wa kuongeza ushiriki wa Wakandarasi Wazawa katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi nchini. Kikao hiki kimefanyika Jijini Dodoma ambapo Wadau mbalimbali wa sekta ya ujenzi nchini wameshiriki.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi

Maelekezo ya Mhe. Bashungwa

Maelekezo ya Mhe. Bashungwa

Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza (NCC) Mha. Dkt. Matiko Mturi akitoa taarifa ya Baraza wakati wa Kikao cha Waziri wa Ujenzi Mhe.Innocent Bashungwa na Menejimenti za

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa (kati mstari wa mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti baada ya Kikao na Menejimenti za Taasisi chini ya Wizara ya Ujenzi jijini Dodoma. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mha. Balozi

Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akisisitiza jambo wakati wa Kikao na Menejimenti za Taasisi chini ya Wizara ya Ujenzi jijini Dodoma.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dk Matiko Mturi (wa kwanza kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NCC kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, baada ya kuingia uwanjani humo kwa maandamano kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani. Maandamano hayo yalianzia kwenye viwanja vya Bunge jijini humo. Kulia kwa Dk Mturi ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) katika Tawi la NCC, Bi. Namsembaeli Mduma.

Participants in a course on Conduct and Practice of Arbitration while listening to Eng Samwel Msita, as he takes them through important topics of the course, during a session held in Dar es Salaam recently.

Mwezeshaji katika mafunzo ya Usimamizi bora wa Mikataba ya Ujenzi yanayoendeshwa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Mhandisi Mshauri Julius Mamiro akieleza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Mwanza. Mamiro amewashauri wadau wa ujenzi nchini kuhakikisha hawakosi mafunzo mbalimbali yanayotolewa na NCC, kwa sababu yanalenga kuwajengea uwezo, ili wapate matokeo bora katika shughuli zao ndani ya sekta ya ujenzi.
A picture of some participants in a just ended course on Construction Contracts Administration conducted by National Construction Council (NCC) in Mwanza while litsening to the facilitator of the course, Eng. Julius Mamiro ( not in the picture). Participants from Zanzibar attended in large numbers and expressed their need to attend to other courses that NCC conducts.

Two groups of participants in a course on Construction Contracts Administration held in Mbeya recently; as they were in discussion. There were several discussion groups. As it is being done after each course, participants do exams, and so do these. National Construction Council (NCC) is the organizer of the course.

Various professionals were in attendance in full participation in a training class on Conduct and Practice of Arbitration as they were photographed recently in Dar es Salaam. The training was conducted by NCC. Resource person Elias Kisamo presided over the training in a more participatory way as participants were able to formulate groups and practice arbitration (They demonstrated preliminary meetings and hearing sessions).

A picture of the Managerial Staff of Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) in Kigoma Region as pictured late last year in group discussions during a Tailor made course conducted by NCC. The course was aimed at sharpening the skills of RUWASA managerial staff on how to manage projects by using Microsoft Project Management Software.

Resource person, Samwel Msita (who is standing) in discussion with some participants who were being trained on the conduct and practice of arbitration in Dar es Salaam. The training was organized by National Construction Council. Among services that NCC renders, training is one of the flagships for capacity and performance improvement, of actors in the Construction Industry.
Habari Mpya
-
Bashungwa: Wakandarasi Wazawa Washirikishwe Fursa za Kiuchumi
Serikali imezitaka taasisi chini ya Wizara ya Ujenzi kuhakikisha Wakandarasi Wazawa wanapewa kipaumbele katika kushiriki kwenye fursa za kiuchumi.
Oct 02,2023 Soma zaidi -
‘Rasimu ya mapendekezo gharama za ujenzi wa barabara tayari’
May 23,2023 Soma zaidi -
Serikali Kuweka Miongozo ya Ujenzi Majengo Nchini
May 08,2023 Soma zaidi
Soma Habari zaidi