

National Construction Council's Director of Corporate Services (DCS), Mr. Amosi Mazaba in conversation with Chairperson of NCC-TUGHE, Ms. Namsembaeli Mduma soon after the election results were announced at NCC offices in Dodoma. The talks involved cooperation.

National Construction Council's Director of Corporate Services (DCS), Mr. Amosi Mazaba (left sitting) in a picture with newly elected NCC-TUGHE leaders. Beside him is the Chairperson of NCC-TUGHE, Ms. Namsembaeli Mduma, and Mr. Tumaini Masige who is the Secretary. Standing from the left are NCC-TUGHE Youth Representative, Ms. Ruth Mdenye, Ms. Emma Mchome who is the Secretary to the Women Committee, and the Chairperson to the Committee, Mrs. Asina Mfinanga.

Baadhi ya Wanawake wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) katika picha ya pamoja wilayani Kondoa mkoani Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Kimkoa yamefanyika wilayani humo yakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule. Kauli mbiu ya mwaka huu ni Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia Chachu katika kuleta Usawa wa Kijinsia.”Kila mwaka Machi 08 wanawake duniani huadhimisha siku hiyo kwa namna tofauti.


Employees of the National Construction Council (NCC) while listening to the Chief Executive Officer with the Council, Dr Mtiko Samson Mturi (not seen on the picture) during an ordinary meeting held at the Council.

Mwezeshaji katika mafunzo ya Usimamizi bora wa Mikataba ya Ujenzi yanayoendeshwa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Mhandisi Mshauri Julius Mamiro akieleza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Mwanza. Mamiro amewashauri wadau wa ujenzi nchini kuhakikisha hawakosi mafunzo mbalimbali yanayotolewa na NCC, kwa sababu yanalenga kuwajengea uwezo, ili wapate matokeo bora katika shughuli zao ndani ya sekta ya ujenzi.
A picture of some participants in a just ended course on Construction Contracts Administration conducted by National Construction Council (NCC) in Mwanza while litsening to the facilitator of the course, Eng. Julius Mamiro ( not in the picture). Participants from Zanzibar attended in large numbers and expressed their need to attend to other courses that NCC conducts.


Chief Executive Officer (CEO) of the Malawi National Construction Industry Council (NCIC), Eng. Gerald T. Khonje when listening to the Senior Officer with the National Construction Council of Tanzania, QS Athanas Sugwa as he visited NCC’s booth in Dar es Salaam during the recent Dar Construction Expo 2022 conducted in Dar es Salaam. Construction industry stakeholders from different countries visited NCC at the exhibition and hear what they wanted to hear from the QS. All stakeholders’ questions related to NCC and the construction industry at large, were answered.
Afisa Mwandamizi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (QS) Athanas Sugwa akibadilishana mawasiliano (Business card) na mmoja wa wadau wa sekta ya ujezi nchini, baada ya kumhudumia wakati wa maonesho ya Dar Construction Expo 2022 jijini Dar es Salaam, huku wadau wengine wa sekta hiyo wakisubiri kupewa maelezo mbalimbali waliyohitaji kuyapata kuhusu NCC. Banda la NCC limetembelewa na wadau wengi kutoka nchi mbalimbali,pamoja na wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu zinazofundisha masuala ya uhandisi wa ujenzi, ukadiriaji majenzi nk.
Baadhi ya wadau wa sekta ya ujenzi wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), QS Athanas Sugwa, walipotembelea banda la baraza hilo wakati wa maonesho ya Dar Construction Expo 2022 jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Miongoni mwa mambo waliyoelezwa ni pamoja na umuhimu wa baraza hilo kwa wadau wa sekta ya ujenzi, pamoja na majukumu linayoyatekeleza. Banda la NCC limetembelewa na wadau wa sekta ya ujenzi kutoka ndani na nje ya Tanzania.

Two groups of participants in a course on Construction Contracts Administration held in Mbeya recently; as they were in discussion. There were several discussion groups. As it is being done after each course, participants do exams, and so do these. National Construction Council (NCC) is the organizer of the course.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mh. Atupele Mwakibete akibadilishana mawazo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dk Matiko Mturi, baada ya uzinduzi wa bodi ya NCC.

Mwenyekiti wa Bodi mpya ya NCC, Dk Fatma Mohamed akipokea vitendea kazi kutoka kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Mh. Atupele Mwakibete ikiwa ni ishara ya kuzinduliwa kwa bodi hiyo yenye wajumbe 12, akiwemo Mwenyekiti. Aliyesimama pembeni ni Naibu Katibu Mkuu (Ujenzi), Mh. Ludovick Nduhiye.

Mwenyekiti wa Bodi mpya ya NCC Dk Fatma Mohamed, pamoja na wajumbe wa bodi hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Mh. Atupele Mwakibete (aliyesimama katikati) baada ya uzinduzi wa bodi hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu (Ujenzi), Mh. Ludovick Nduhiye.

Various professionals were in attendance in full participation in a training class on Conduct and Practice of Arbitration as they were photographed recently in Dar es Salaam. The training was conducted by NCC. Resource person Elias Kisamo presided over the training in a more participatory way as participants were able to formulate groups and practice arbitration (They demonstrated preliminary meetings and hearing sessions).

A picture of the Managerial Staff of Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) in Kigoma Region as pictured late last year in group discussions during a Tailor made course conducted by NCC. The course was aimed at sharpening the skills of RUWASA managerial staff on how to manage projects by using Microsoft Project Management Software.

Resource person, Samwel Msita (who is standing) in discussion with some participants who were being trained on the conduct and practice of arbitration in Dar es Salaam. The training was organized by National Construction Council. Among services that NCC renders, training is one of the flagships for capacity and performance improvement, of actors in the Construction Industry.

A picture of Some participants who are doing an exam after they completed their training period in one of the courses run by NCC. Participants are subjected to tests that are used to determine their understanding of the contents taught before they are issued with certificates.

Some participants in one of the courses organized by the National Construction Council; as pictured in class while listening to the presenter.


Watumishi wa NCC walioshiriki mbio za Mita 100; Bi Sada Nassoro (aliyeko mbele) ambaye ndiye mshindi wa mbio hizo na Bi. Gundelinda Isack, aliyeshika nafasi ya pili.

Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC (walio kaa kushoto)) wakizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kutoka Vikosi vya Ujenzi, vinavyotekeleza ujenzi huo katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Mazungumzo hayo yamefanyika wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wataalamu wa NCC wameongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kiufundi, Injinia Moses Lawrence ( wa kwanza kutoka meza kuu-kushoto). Meneja mradi kutoka Vikosi vya Ujenzi ni Mhandisi Bi. Ensi Japhet ( wa pili kutoka meza kuu-kulia).

Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakimsikiliza mwakilishi wa TAMISEMI, Mhandisi Jonas Masina (wa kwanza kulia) anayeiwakilisha taasisi hiyo katika ujenzi wa jengo la ofisi za TAMISEMI, unaotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi kwenye mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. NCC imetembelea mradi huo na kutoa ushauri wa kiufundi, ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wa kwanza kushoto ni Afisa Usalama Kazini, Thomas Kinyau kutoka Vikosi vya Ujenzi.
Habari Mpya
-
‘Ruhusuni majadiliano katika hali zote’
MWAKILISHI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Subisi Mwasandenge, ametoa wito kwa viongozi wa chama hicho katika Tawi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kuruhusu majadiliano wakati wote wanapokuwa katika hali zote, zikiwemo zisizovumilika.
Mar 16,2023 Soma zaidi -
“Wanawake tumieni fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali”
Mar 09,2023 Soma zaidi -
TANGAZO LA MAFUNZO
Mar 01,2023 Soma zaidi
Soma Habari zaidi
Matukio
Matangazo
-
Invitation for Expression of Interest Date: 23rd January, 2023
Jan 24, 2023 Angalia Zaidi -
COURSE ON CONDUCT AND PRACTICE OF ARBITRATION PROTEA HOTEL-COURT YARD- Sea View, Barack Obama Avenue, Dar es Salaam from 30th November – 2nd December
Nov 16, 2022 Angalia Zaidi -
COURSE ON CONDUCT AND PRACTICE OF ARBITRATION
Jun 30, 2022 Angalia Zaidi -
Course on Construction Contract Administration
Apr 27, 2021 Angalia Zaidi
Matangazo Zaidi