
Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dk Matiko Mturi (wa kwanza kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NCC kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, baada ya kuingia uwanjani humo kwa maandamano kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani. Maandamano hayo yalianzia kwenye viwanja vya Bunge jijini humo. Kulia kwa Dk Mturi ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) katika Tawi la NCC, Bi. Namsembaeli Mduma.

Participants in a course on Conduct and Practice of Arbitration while listening to Eng Samwel Msita, as he takes them through important topics of the course, during a session held in Dar es Salaam recently.

National Construction Council's Director of Corporate Services (DCS), Mr. Amosi Mazaba in conversation with Chairperson of NCC-TUGHE, Ms. Namsembaeli Mduma soon after the election results were announced at NCC offices in Dodoma. The talks involved cooperation.

National Construction Council's Director of Corporate Services (DCS), Mr. Amosi Mazaba (left seated) in a picture with newly elected NCC-TUGHE leaders. Beside him is the Chairperson of NCC-TUGHE, Ms. Namsembaeli Mduma, and Mr. Tumaini Masige who is the Secretary. Standing from left are NCC-TUGHE Youth Representative, Ms. Ruth Mdenye, Ms. Emma Mchome who is the Secretary to the Women Committee, and the Chairperson to the Committee, Mrs. Asina Mfinanga.

Employees of the National Construction Council (NCC) while listening to the Chief Executive Officer with the Council, Dr Mtiko Samson Mturi (not seen on the picture) during an ordinary meeting held at the Council.

Mwezeshaji katika mafunzo ya Usimamizi bora wa Mikataba ya Ujenzi yanayoendeshwa na Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Mhandisi Mshauri Julius Mamiro akieleza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Mwanza. Mamiro amewashauri wadau wa ujenzi nchini kuhakikisha hawakosi mafunzo mbalimbali yanayotolewa na NCC, kwa sababu yanalenga kuwajengea uwezo, ili wapate matokeo bora katika shughuli zao ndani ya sekta ya ujenzi.
A picture of some participants in a just ended course on Construction Contracts Administration conducted by National Construction Council (NCC) in Mwanza while litsening to the facilitator of the course, Eng. Julius Mamiro ( not in the picture). Participants from Zanzibar attended in large numbers and expressed their need to attend to other courses that NCC conducts.

Two groups of participants in a course on Construction Contracts Administration held in Mbeya recently; as they were in discussion. There were several discussion groups. As it is being done after each course, participants do exams, and so do these. National Construction Council (NCC) is the organizer of the course.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mh. Atupele Mwakibete akibadilishana mawazo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Dk Matiko Mturi, baada ya uzinduzi wa bodi ya NCC.

Mwenyekiti wa Bodi mpya ya NCC Dk Fatma Mohamed, pamoja na wajumbe wa bodi hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Mh. Atupele Mwakibete (aliyesimama katikati) baada ya uzinduzi wa bodi hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu (Ujenzi), Mh. Ludovick Nduhiye.

Various professionals were in attendance in full participation in a training class on Conduct and Practice of Arbitration as they were photographed recently in Dar es Salaam. The training was conducted by NCC. Resource person Elias Kisamo presided over the training in a more participatory way as participants were able to formulate groups and practice arbitration (They demonstrated preliminary meetings and hearing sessions).

A picture of the Managerial Staff of Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) in Kigoma Region as pictured late last year in group discussions during a Tailor made course conducted by NCC. The course was aimed at sharpening the skills of RUWASA managerial staff on how to manage projects by using Microsoft Project Management Software.

Resource person, Samwel Msita (who is standing) in discussion with some participants who were being trained on the conduct and practice of arbitration in Dar es Salaam. The training was organized by National Construction Council. Among services that NCC renders, training is one of the flagships for capacity and performance improvement, of actors in the Construction Industry.

A picture of Some participants who are doing an exam after they completed their training period in one of the courses run by NCC. Participants are subjected to tests that are used to determine their understanding of the contents taught before they are issued with certificates.

Some participants in one of the courses organized by the National Construction Council; as pictured in class while listening to the presenter.

Watumishi wa NCC walioshiriki mbio za Mita 100; Bi Sada Nassoro (aliyeko mbele) ambaye ndiye mshindi wa mbio hizo na Bi. Gundelinda Isack, aliyeshika nafasi ya pili.

Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC (walio kaa kushoto)) wakizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kutoka Vikosi vya Ujenzi, vinavyotekeleza ujenzi huo katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Mazungumzo hayo yamefanyika wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wataalamu wa NCC wameongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kiufundi, Injinia Moses Lawrence ( wa kwanza kutoka meza kuu-kushoto). Meneja mradi kutoka Vikosi vya Ujenzi ni Mhandisi Bi. Ensi Japhet ( wa pili kutoka meza kuu-kulia).

Wataalamu wa ujenzi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakimsikiliza mwakilishi wa TAMISEMI, Mhandisi Jonas Masina (wa kwanza kulia) anayeiwakilisha taasisi hiyo katika ujenzi wa jengo la ofisi za TAMISEMI, unaotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi kwenye mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. NCC imetembelea mradi huo na kutoa ushauri wa kiufundi, ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma. Wa kwanza kushoto ni Afisa Usalama Kazini, Thomas Kinyau kutoka Vikosi vya Ujenzi.

Mkurugenzi wa Huduma za Kiufundi kutoka Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Mhandisi Moses Lawrence ( Kulia) na Meneja mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi,linaloendelea kujengwa na Vikosi vya Ujenzi katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Mhandisi Ally Lusesa, wakioneshana kitu katika eneo la juu inapojengwa ghorofa ya tatu ya ofisi hizo. Wataalamu kutoka NCC wametembelea miradi mitatu ya ujenzi inayotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi, ili kutoa ushauri wa kiufundi katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.

Msanifu majengo (Arch) Andzimye Matovelo wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) (Aliyevaa T-Shirt), akitoa ushauri kupitia mchoro kwa Meneja wa mradi wa ujenzi wa jengo la ghorofa sita la Ofisi za Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi unaoendelea katika mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Mhandisi Ally Lusesa na Mhandisi wa mradi huo, Stanslaus (aliyeshika kiuno) kutoka Vikosi vya Ujenzi kuhusu namna bora ya kuweka vizuia moto kwenye jengo hilo. Hatua hii ni katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.


Washiriki wa mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba ya Ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupata mafunzo hayo jijini Arusha August, 2020.
Habari Mpya
-
TANGAZO LA MAFUNZO
Baraza la Taifa la Ujenzi linaandaa mafunzo kuhusu Usimamizi wa Mabadiliko ya Kimkataba katika Ujenzi, Madai na Usuluhishi wa Migogoro. Mafunzo haya yatafanyika kuanzia tarehe 31 Julai hadi 4 Agosti 2023 Jijini ARUSHA.
Jun 01,2023 Soma zaidi -
‘Rasimu ya mapendekezo gharama za ujenzi wa barabara tayari’
May 23,2023 Soma zaidi -
Serikali Kuweka Miongozo ya Ujenzi Majengo Nchini
May 08,2023 Soma zaidi
Soma Habari zaidi
Matukio
Matangazo
-
Invitation for Expression of Interest Date: 23rd January, 2023
Jan 24, 2023 Angalia Zaidi -
COURSE ON CONDUCT AND PRACTICE OF ARBITRATION PROTEA HOTEL-COURT YARD- Sea View, Barack Obama Avenue, Dar es Salaam from 30th November – 2nd December
Nov 16, 2022 Angalia Zaidi -
COURSE ON CONDUCT AND PRACTICE OF ARBITRATION
Jun 30, 2022 Angalia Zaidi -
Course on Construction Contract Administration
Apr 27, 2021 Angalia Zaidi
Matangazo Zaidi