Huduma za Ushauri

Baraza linashughulika na kutoa ushauri wa kiufundi katika mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi; ikiwa ni pamoja na mipango kuhusu utekelezaji wa miradi, ununuzi na usimamizi wa mikataba ya ujenzi, usimamizi wa gharama za miradi, ukaguzi wa miradi kuhusu upatikanaji wa thamani ya fedha n’k.