Habari

  • news image

    Dk Matiko: Watumishi wasipelekwe kozi ilimradi

    MTENDAJI Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Dk Matiko Samson Mturi, amewataka Wakuu wa Vitengo katika baraza hilo kuhakikisha wanaruhusu watumishi kushiriki mafunzo yenye tija kwao na taasisi, na wala si vinginevyo.

    Nov 30, 2020 Soma zaidi
  • news image

    PONGEZI

    Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linakupongeza Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kwa kuteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Nov 13, 2020 Soma zaidi
  • news image

    NCC -TAMICO yapata viongozi

    CHAMA cha Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC-TAMICO) kimepata viongozi wapya wiki hii,baada ya waliokuwa wakikiongoza kumaliza muda wao wa uongozi.

    Nov 12, 2020 Soma zaidi
  • news image

    PONGEZI

    HONGERA MHESHIMA RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI NA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUCHAGULIWA KUINGOZA TENA TANZANIA

    Nov 11, 2020 Soma zaidi
  • news image

    NCC Hazina Saccos yapata viongozi

    CHAMA cha Kuweka na Kukopa kwa ajili ya watumishi wa Serikali wanaofanya kazi kwenye Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC Hazina Saccos), kimepata viongozi baada ya kufanyika uchaguzi kwenye tawi hilo hivi karibuni.

    Oct 12, 2020 Soma zaidi
  • news image

    NCC KWENYE VYOMBO VYA HABARI

    ONLINE PLATFORM/ MAGAETI YA MTANDAONI

    Oct 10, 2020 Soma zaidi