Habari
-
Dk Matiko: Watumishi wasipelekwe kozi ilimradi
MTENDAJI Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Dk Matiko Samson Mturi, amewataka Wakuu wa Vitengo katika baraza hilo kuhakikisha wanaruhusu watumishi kushiriki mafunzo yenye tija kwao na taasisi, na wala si vinginevyo.
Nov 30, 2020 Soma zaidi -
PONGEZI
Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linakupongeza Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kwa kuteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania
Nov 13, 2020 Soma zaidi -
NCC -TAMICO yapata viongozi
CHAMA cha Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC-TAMICO) kimepata viongozi wapya wiki hii,baada ya waliokuwa wakikiongoza kumaliza muda wao wa uongozi.
Nov 12, 2020 Soma zaidi -
PONGEZI
HONGERA MHESHIMA RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI NA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUCHAGULIWA KUINGOZA TENA TANZANIA
Nov 11, 2020 Soma zaidi -
NCC Hazina Saccos yapata viongozi
CHAMA cha Kuweka na Kukopa kwa ajili ya watumishi wa Serikali wanaofanya kazi kwenye Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC Hazina Saccos), kimepata viongozi baada ya kufanyika uchaguzi kwenye tawi hilo hivi karibuni.
Oct 12, 2020 Soma zaidi -
NCC KWENYE VYOMBO VYA HABARI
ONLINE PLATFORM/ MAGAETI YA MTANDAONI
Oct 10, 2020 Soma zaidi