Habari
-
NCC yashiriki Bonanza la Michezo la Wizara ya Ujenzi
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC), limeshiriki Bonanza la Michezo kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na baadhi ya watumishi wake kuibuka kidedea katika mashindano ya michezo mbalimbali iliyoandaliwa, ikiwemo riadha, mpira wa miguu na kukimbiza kuku.
Jul 25, 2022 Soma zaidi -
NCC yaitumia Wiki ya Utumishi wa Umma kutembelea miradi • Yatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) kwa kutumia wataalamu wake wa masuala ya ujenzi, limetembelea miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Vikosi vya Ujenzi vilivyo chini ya Sekta ya Ujenzi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa watekelezaji wa miradi hiyo.
Jun 23, 2022 Soma zaidi -
Katibu Mkuu TAMISEMI akumbusha wakandarasi wa barabara jambo jema
KATIBU Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Prof Riziki Shemdoe ametoa wito kwa wahusika wa utengenezaji barabara nchini hasa za kwenye mitaa, wakiwemo wasimamizi na wakandarasi wanaohusika kutengeneza barabara hizo kutosubiri kuona dalili za mvua ndipo waanze kutengeneza barabara.
Dec 16, 2021 Soma zaidi -
NCC yakutanisha wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini kusikia maoni yao
BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) limefanikiwa kuwakutanisha wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini kwa lengo la kupata maoni yao kuhusu maendeleo ya sekta ya ujenzi Tanzania, pamoja na kusikia maoni na mapendekezo yao kuhusu masuala mbalimbali ya sekta hiyo yanayopaswa kufanyiwa kazi ili kuikuza zaidi kwa maendeleo ya taifa.
Dec 16, 2021 Soma zaidi -
NCC yamtakia Njaila mafanikio mema baada ya kustaafu
BODI ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) inamtakia mfanyakazi aliyestaafu Utumishi wa Umma hivi karibuni, Eliud Njaila mafanikio na maisha mema popote atakapokuwa baada ya utumishi wake serikalini.
Jul 01, 2021 Soma zaidi -
Wafanyakazi NCC waungana na wengine kusherehekea Mei Mosi
KATIKA kutambua umuhimu wa Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wameshiriki maandamano ya kumbukumbu ya siku hii pamoja na wafanyakazi wa mashirika, taasisi za Serikali, za binafsi na asasi za kiraia.
May 03, 2021 Soma zaidi