Habari
-
Wafanyakazi NCC waungana na wengine kusherehekea Mei Mosi
KATIKA kutambua umuhimu wa Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wameshiriki maandamano ya kumbukumbu ya siku hii pamoja na wafanyakazi wa mashirika, taasisi za Serikali, za binafsi na asasi za kiraia.
May 03, 2021 Soma zaidi -
Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake NCC wasapoti maneno ya Samia
WAKATI Dunia ikisherehekea Siku ya Wanawake, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amewataka waajiri wote nchini kutambua heshima ya mwanamke katika sehemu za kazi pamoja na kuwajali.
Mar 12, 2021 Soma zaidi -
Wajumbe wa Bodi NCC, Menejimenti watembelea mradi mkubwa wa umeme Rufiji
WAJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) pamoja na menejimenti ya baraza hilo wametembelea mradi mkubwa wa kuzalisha umeme uliopo Rufiji mkoani Pwani na kujionea au kujifunza mambo mengi yaliyowathibitishia kuwa utakamilika kama ilivyopangwa katikati ya mwaka ujao.
Feb 02, 2021 Soma zaidi -
Tutazingatia maadili ya Utumishi wa Umma-NCC
MAOFISA wanaoshughulika na masuala ya maadili ya Utumishi wa Umma kutoka Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora) wametoa mafunzo ya maadili kwa wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) jana na kuwakumbusha mambo muhimu wanayopaswa kuyazingatia.
Dec 17, 2020 Soma zaidi -
Salamu za Pongezi kwa Mhandisi, Dk Leonard Chamuhiro-Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
BODI ya Wakurugenzi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Menejimenti na Wafanyakazi wote wa baraza hili, tunayofuraha kukupongeza Injinia, Dk. Leonard Chamuhiro kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi. Hongera sana.
Dec 15, 2020 Soma zaidi -
Dk Matiko: Watumishi wasipelekwe kozi ilimradi
MTENDAJI Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Dk Matiko Samson Mturi, amewataka Wakuu wa Vitengo katika baraza hilo kuhakikisha wanaruhusu watumishi kushiriki mafunzo yenye tija kwao na taasisi, na wala si vinginevyo.
Nov 30, 2020 Soma zaidi